Jumanne, 31 Januari 2017

KAGERA SUGAR YAMUENZI DAVID BURHAN KWA USHINDI DHIDI YA MTIBWA SUGAR.

 
Bao za Kagera Sugar leo zimefungwa na Mbaraka Yusuph dakika ya 29 kipindi cha kwanza na bao la pili lilifungwa na Ibrahim Twaha dakika ya 53 huku Mtibwa Sugar wakipatiwa bao lao la kufutia machozi na mchezaji wake Stamil Mbonde dakika ya 79.
Wachezaji wa Kagera Sugar wakishangilia bao la kwanza kwa aina yake lililofungwa kwa mpira wa adhabu (frii-kiki) na Mbaraka Yusuph.



EmoticonEmoticon