KAGERA SUGAR YAMUENZI DAVID BURHAN KWA USHINDI DHIDI YA MTIBWA SUGAR.
Bao za Kagera Sugar leo zimefungwa na Mbaraka Yusuph dakika ya 29 kipindi cha kwanza na bao la pili lilifungwa na Ibrahim Twaha dakika ya 53 huku Mtibwa Sugar wakipatiwa bao lao la kufutia machozi na mchezaji wake Stamil Mbonde dakika ya 79.
Wachezaji wa Kagera Sugar wakishangilia bao la kwanza kwa aina yake lililofungwa kwa mpira wa adhabu (frii-kiki) na Mbaraka Yusuph.
Jumanne, 31 Januari 2017

Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Matokeo ya utafutaji
Followers
Popular Posts
-
*KUHUSU_SEX..* *_NI KWELI UTATUBU LAKINI MAMBO HAYA YATABAKI KWAKO DAIMA...!_*👇👇 Vijana wengi sasa (waliokoka) wana fanya SEX wakat wa...
-
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali kwa kushirikiana na kampuni ya Viettel ya Vietnam inatekeleza mradi wa ujenzi wa miundombinu ...
-
Bungeni: Waajiri Na Waajiriwa Zingatieni Sheria Za Kazi Kuondoa Migogoro Kazini: Majaliwa Na Raymond Mushumbusi WHUSM Dodoma. Wa...
EmoticonEmoticon